tag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post1996588381554142096..comments2023-05-02T14:15:21.732+01:00Comments on Mwanasosholojia: Wadau Mwanasosholojia Yupo Yupo!Mwanasosholojiahttp://www.blogger.com/profile/11175747029636518855noreply@blogger.comBlogger4125tag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post-59654439919788664142009-06-17T16:18:14.276+01:002009-06-17T16:18:14.276+01:00Tungo nzuri...Kweli, mama mtu mhimu. Shukran kwa k...Tungo nzuri...Kweli, mama mtu mhimu. Shukran kwa kutujulisha kinachoendelea... mambo ya dunia sio rahisi..<br /><br />serina.Serinahttp://www.serinaserina.wordpress.comnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post-14971141700226310252009-06-17T15:12:15.237+01:002009-06-17T15:12:15.237+01:00Kaka Mwanasosholojia! kwanza pole sana tena sana n...Kaka Mwanasosholojia! kwanza pole sana tena sana nipo pamoja nawe.<br />Nina imani maombi yako Mungu ameyasikia<br />Na mama atapata nafuu na utakuwa naye<br />Pia atacheza na wajukuu wake<br />Najua hakuna kitu cha kufananisha kama mama.<br />Nakuomba mpe pole toka kwangu.Mungu yupo nanyi nami nitakazana kutoa maombi yangu.Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post-24156236381459154282009-06-17T00:05:46.201+01:002009-06-17T00:05:46.201+01:00Pole na majukumu,Mwanasosholojia.Muumba ampe upony...Pole na majukumu,Mwanasosholojia.Muumba ampe uponyaji wa haraka mzaa chema (bimkubwa).Na kijana wetu asichelewe kukopi mema yote za Mwanasosholojia.Tuko pamoja.Evarist Chahalihttps://www.blogger.com/profile/08220429042701710191noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post-4816822035294403042009-06-15T17:58:07.283+01:002009-06-15T17:58:07.283+01:00Dah!!nimesoma hizi tungo na zimenigusa sana,tumtan...Dah!!nimesoma hizi tungo na zimenigusa sana,tumtangulize Mungu katika kila jambo nina imani kabisa mama yetu,pamoja na mtoto Domi watapona na wataruhusiwa mapema.Mankanoreply@blogger.com