tag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post9080521372876937096..comments2023-05-02T14:15:21.732+01:00Comments on Mwanasosholojia: Chagua Mwanasosholojia Tuzo za Blog!Mwanasosholojiahttp://www.blogger.com/profile/11175747029636518855noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-7083611134941980307.post-60910263149840047482011-06-25T16:02:54.681+01:002011-06-25T16:02:54.681+01:00Siamini kama kweli watu mmekazania upuuzi huu. Uki...Siamini kama kweli watu mmekazania upuuzi huu. Ukishinda ndiyo utapata nini? Umaarufu? Unawajua hawa waandaaji?<br /><br />Zoezi zima hili ni upuuzi mtupu. Watanzania hatuwezi kufanya kitu kwa haki na transparency. Kila kitu ni kwa kujuana na kufuata sifa na umaarufu.<br /><br />Bloggers wana nafasi kubwa sana katika jamii na wanapokubali kufanyiwa mchezo wa kipuuzi kama huu inasikitisha.<br /><Stella Fumbukahttps://www.blogger.com/profile/09837922130384689114noreply@blogger.com