Mdau amenirushia ucheshi huu wa ndugu zetu kule Kenya, nikaona ni vyema kutundika hapa;NO Smoking in SwahiliAfter public smoking was banned in Kenya, each town clerk was assigned theduty of posting notices in Kiswahili to that effect. See how differentcouncils posted theirnotice: Other councils are still working on theirs.......The Mombasa Town Clerk:Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana wakikiukaamrihii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.The Kiambu Town Clerk:Wanyuanji wa thigara washunge sana.Unyuanji wa thigara bere ya watu hatahuko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.The Machakos Town Clerk:Wavulutanji tusikala wasunge sana.Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku nakanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana.The Kisumu Town Clerk:Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa,ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!Wajir Town Clerk:Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisitagaamata mutu bhahala yaghe kiburuta.Kericho Town Clerk:Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa.Haguna!!Charipu wee taona!!!Kisii and Nyamira Town ClerkAkuna kukunywa sigara hapa ndani na inche kuansia reo. Mutakaobatikanamutakura kiboko saa iyo iyo. Wote munaombua kujiatari sana.Other Councils are still working on theirs.......
27/05/2010
Matangazo ya Sigara Kenya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hii imeniacha hoi kweli, sijui kwa kizaramo tunasemaje
ReplyDeleteHii kali mkuu. You have made my day kwasababu nimecheka mpaka machozi!!!
ReplyDeleteTeh! Kuna wadau wameongezea kwa Same na Uru Kishumundu, Bongo;
ReplyDeleteSame, Pare District Clerk:
Kuvuta thigara kumekatadhwa kuandhia leo. Watakaokutwa wakikothea kwa kuvuta thigara hazarani wataazibiwa kufuatana na sheria. Thote tudhingatie!
The Moshi-Uru Kishumundu towm clerk:
Ufutaji o sigara okapwa marufuku anzia inu. Kokoyo kufuta sigara hazarani,shauri yafo, kuiazibio azabu ing'an sana kabsaaa! Chunga sana msoro na mndumka.
U have made my day bro. Thanx sana maana nimecheka hadi machozi kunitoka
ReplyDeleteNjombe District Clerk aliandika:
ReplyDeleteKufuta isigala wamekatasa kabisaa kabisa. Ukikamatika ndasene watakuchalasa fiboho na kukutia gelesani bila mcheso.
Teh!Malenga umenichekesha na wa Njombe!
ReplyDeleteKitu kizuri ni kwamba wananchi wameeelewa maana wengine wangeandikiwa kilichonyooka wasingeelewa kabisa
ReplyDeletemnajua ningekuwa rais ningeruhusu shule zote za msingi au hata sekondari kilugha kifundishwe mngeona jinsi matokeo ya mitihani ingekuwa bombi kweli. Nafurahi kama thigara haziruhusiwi kuvutwa ovyo.
ReplyDeleteOOHH! kaka upo wapi je upo salama unamisiwa sana sema kitu japo upo salama. Si unajua sisi ni ndugu mmoja akitoweka kwa muda wengine hukasa raha.
ReplyDelete